Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 17:25 - Swahili Revised Union Version

Na Ishmaeli mwanawe alikuwa mtu wa miaka kumi na mitatu, alipotahiriwa nyama ya govi lake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Na Ishmaeli mwanawe alikuwa na umri wa miaka 13 alipotahiriwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Na Ishmaeli mwanawe alikuwa na umri wa miaka 13 alipotahiriwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Na Ishmaeli mwanawe alikuwa na umri wa miaka 13 alipotahiriwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

naye Ishmaeli mwanawe alitahiriwa akiwa na umri wa miaka kumi na tatu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

naye Ishmaeli mwanawe alitahiriwa akiwa na umri wa miaka kumi na mitatu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na Ishmaeli mwanawe alikuwa mtu wa miaka kumi na mitatu, alipotahiriwa nyama ya govi lake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 17:25
3 Marejeleo ya Msalaba  

Hajiri akamzalia Abramu mwana wa kiume; Abramu akamwita jina lake Ishmaeli, yule mwanawe, ambaye Hajiri alimzaa.


Naye Abramu alikuwa mtu wa miaka themanini na sita, hapo Hajiri alipomzalia Abramu Ishmaeli.


Siku ile ile akatahiriwa Abrahamu na Ishmaeli mwanawe.