Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 17:25 - Swahili Revised Union Version

25 Na Ishmaeli mwanawe alikuwa mtu wa miaka kumi na mitatu, alipotahiriwa nyama ya govi lake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Na Ishmaeli mwanawe alikuwa na umri wa miaka 13 alipotahiriwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Na Ishmaeli mwanawe alikuwa na umri wa miaka 13 alipotahiriwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Na Ishmaeli mwanawe alikuwa na umri wa miaka 13 alipotahiriwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 naye Ishmaeli mwanawe alitahiriwa akiwa na umri wa miaka kumi na tatu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 naye Ishmaeli mwanawe alitahiriwa akiwa na umri wa miaka kumi na mitatu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Na Ishmaeli mwanawe alikuwa mtu wa miaka kumi na mitatu, alipotahiriwa nyama ya govi lake.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 17:25
3 Marejeleo ya Msalaba  

Hajiri akamzalia Abramu mwana wa kiume; Abramu akamwita jina lake Ishmaeli, yule mwanawe, ambaye Hajiri alimzaa.


Naye Abramu alikuwa mtu wa miaka themanini na sita, hapo Hajiri alipomzalia Abramu Ishmaeli.


Siku ile ile akatahiriwa Abrahamu na Ishmaeli mwanawe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo