Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 11:26 - Swahili Revised Union Version

Tera akaishi miaka sabini, akamzaa Abramu, na Nahori, na Harani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tera alipokuwa na umri wa miaka 70, alimzaa Abramu na Nahori na Harani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tera alipokuwa na umri wa miaka 70, alimzaa Abramu na Nahori na Harani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tera alipokuwa na umri wa miaka 70, alimzaa Abramu na Nahori na Harani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tera alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Abramu, na baadaye akawazaa Nahori na Harani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tera alipokuwa na miaka sabini, akamzaa Abramu, Nahori na Harani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tera akaishi miaka sabini, akamzaa Abramu, na Nahori, na Harani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 11:26
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nahori akaishi baada ya kumzaa Tera miaka mia moja na kumi na tisa, akazaa wana, wa kiume na wa kike.


Kisha huyo mtumishi akatwaa ngamia kumi katika ngamia za bwana wake akaenda zake, maana mali zote za bwana wake zilikuwa mkononi mwake, akaondoka, akaja mpaka Mesopotamia, mpaka mji wa Nahori.


wa Yakobo, wa Isaka, wa Abrahamu, wa Tera, wa Nahori,


Yoshua akawaambia watu wote, BWANA, Mungu wa Israeli, asema hivi, Baba zenu hapo zamani walikaa ng'ambo ya Mto, maana Tera, baba yake Abrahamu na Nahori; waliitumikia miungu mingine.