Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 11:26 - Swahili Revised Union Version

26 Tera akaishi miaka sabini, akamzaa Abramu, na Nahori, na Harani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Tera alipokuwa na umri wa miaka 70, alimzaa Abramu na Nahori na Harani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Tera alipokuwa na umri wa miaka 70, alimzaa Abramu na Nahori na Harani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Tera alipokuwa na umri wa miaka 70, alimzaa Abramu na Nahori na Harani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Tera alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Abramu, na baadaye akawazaa Nahori na Harani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Tera alipokuwa na miaka sabini, akamzaa Abramu, Nahori na Harani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Tera akaishi miaka sabini, akamzaa Abramu, na Nahori, na Harani.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 11:26
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nahori akaishi baada ya kumzaa Tera miaka mia moja na kumi na tisa, akazaa wana, wa kiume na wa kike.


Kisha huyo mtumishi akatwaa ngamia kumi katika ngamia za bwana wake akaenda zake, maana mali zote za bwana wake zilikuwa mkononi mwake, akaondoka, akaja mpaka Mesopotamia, mpaka mji wa Nahori.


wa Yakobo, wa Isaka, wa Abrahamu, wa Tera, wa Nahori,


Yoshua akawaambia watu wote, BWANA, Mungu wa Israeli, asema hivi, Baba zenu hapo zamani walikaa ng'ambo ya Mto, maana Tera, baba yake Abrahamu na Nahori; waliitumikia miungu mingine.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo