Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 11:12 - Swahili Revised Union Version

Arfaksadi akaishi miaka thelathini na mitano, akamzaa Sela.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Arfaksadi alipokuwa na umri wa miaka 35, alimzaa Shela.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Arfaksadi alipokuwa na umri wa miaka 35, alimzaa Shela.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Arfaksadi alipokuwa na umri wa miaka 35, alimzaa Shela.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Arfaksadi alipokuwa ameishi miaka thelathini na tano, akamzaa Shela.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati Arfaksadi alipokuwa na miaka thelathini na mitano, akamzaa Shela.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Arfaksadi akaishi miaka thelathini na mitano, akamzaa Sela.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 11:12
5 Marejeleo ya Msalaba  

Arfaksadi akamzaa Sela, Sela akamzaa Eberi.


Shemu akaishi baada ya kumzaa Arfaksadi miaka mia tano, akazaa wana, wa kiume na wa kike.


Arfaksadi akaishi baada ya kumzaa Sela miaka mia nne na mitatu, akazaa wana, wa kiume na wa kike.


Na Arfaksadi akamzaa Sala, na Sala akamzaa Eberi.


wa Kenani, wa Arfaksadi, wa Shemu, wa Nuhu, wa Lameki,