Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 11:11 - Swahili Revised Union Version

11 Shemu akaishi baada ya kumzaa Arfaksadi miaka mia tano, akazaa wana, wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Baada ya kumzaa Arfaksadi, Shemu aliishi miaka 500 na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Baada ya kumzaa Arfaksadi, Shemu aliishi miaka 500 na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Baada ya kumzaa Arfaksadi, Shemu aliishi miaka 500 na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Baada ya kumzaa Arfaksadi, Shemu aliishi miaka mia tano, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Baada ya kumzaa Arfaksadi, Shemu aliishi miaka 500, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Shemu akaishi baada ya kumzaa Arfaksadi miaka mia tano, akazaa wana, wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 11:11
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuimiliki; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.


Hivi ndivyo vizazi vya Shemu; Shemu alikuwa mtu wa miaka mia moja akamzaa Arfaksadi miaka miwili baada ya gharika.


Arfaksadi akaishi miaka thelathini na mitano, akamzaa Sela.


Nanyi zaeni, mkaongezeke; zaeni sana katika nchi, mkaongezeke ndani yake.


Wavulana wetu wakiwa ujanani wawe kama miche Iliyostawi kikamilifu. Binti zetu wawe kama nguzo za pembeni Zilizochongwa ili kupamba kasri.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo