Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 11:13 - Swahili Revised Union Version

13 Arfaksadi akaishi baada ya kumzaa Sela miaka mia nne na mitatu, akazaa wana, wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Baada ya kumzaa Shela, Arfaksadi aliishi miaka 403 na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Baada ya kumzaa Shela, Arfaksadi aliishi miaka 403 na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Baada ya kumzaa Shela, Arfaksadi aliishi miaka 403 na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Baada ya kumzaa Shela, Arfaksadi aliishi miaka mia nne na tatu (403), akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Baada ya Arfaksadi kumzaa Shela, aliishi miaka 403, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Arfaksadi akaishi baada ya kumzaa Sela miaka mia nne na mitatu, akazaa wana, wa kiume na wa kike.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 11:13
2 Marejeleo ya Msalaba  

Arfaksadi akaishi miaka thelathini na mitano, akamzaa Sela.


Sela akaishi miaka thelathini, akamzaa Eberi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo