Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 10:8 - Swahili Revised Union Version

Kushi akamzaa Nimrodi, akaanza kuwa mtu hodari katika nchi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kushi alikuwa baba yake Nimrodi ambaye alikuwa shujaa wa kwanza duniani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kushi alikuwa baba yake Nimrodi ambaye alikuwa shujaa wa kwanza duniani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kushi alikuwa baba yake Nimrodi ambaye alikuwa shujaa wa kwanza duniani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa shujaa mwenye nguvu duniani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa duniani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kushi akamzaa Nimrodi, akaanza kuwa mtu hodari katika nchi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 10:8
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Kushi ni Seba, na Havila, na Sabta, na Raama, na Sabteka. Na wana wa Raama ni Sheba, na Dedani.


Alikuwa hodari kuwinda wanyama mbele za BWANA. Kwa hiyo watu hunena, Kama Nimrodi, hodari wa kuwinda wanyama mbele za BWANA.


Na jina la mto wa pili ni Gihoni; ndio unaozunguka nchi yote ya Kushi.


Kushi naye akamzaa Nimrodi; yeye akaanza kuwa mtu hodari katika nchi.


Ipelekayo wajumbe wake kwa njia ya bahari, Na katika vyombo vya manyasi juu ya maji. Nendeni, wajumbe wepesi, kwa watu warefu, laini; Watu watishao tangu mwanzo wao hata sasa; Taifa la wenye nguvu, wakanyagao watu, Ambao mito inakata nchi yao.


Nao wataiharibu nchi ya Ashuru kwa upanga, na nchi ya Nimrodi katika malango yake; naye atatuokoa na Mwashuri, atakapoingia katika nchi yetu, na kukanyaga ndani ya mipaka yetu.