Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 10:30 - Swahili Revised Union Version

Makao yao yalikuwa kutoka Mesha kwa njia ya Sefari, mlima wa mashariki.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nchi walimokaa ilienea toka Mesha mpaka Sefari katika nyanda za juu za mashariki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nchi walimokaa ilienea toka Mesha mpaka Sefari katika nyanda za juu za mashariki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nchi walimokaa ilienea toka Mesha mpaka Sefari katika nyanda za juu za mashariki.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

(Eneo waliloishi lilienea kutoka Mesha kuelekea Sefari, kwenye nchi ya vilima iliyo mashariki.)

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nchi waliyoishi ilienea toka Mesha kuelekea Sefari kwenye nchi ya vilima iliyoko mashariki.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Makao yao yalikuwa kutoka Mesha kwa njia ya Sefari, mlima wa mashariki.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 10:30
3 Marejeleo ya Msalaba  

na Ofiri, na Havila, na Yobabu. Hao wote ndio wana wa Yoktani.


Hao ndio wana wa Shemu, kufuata jamaa zao, na lugha zao, katika nchi zao, kufuata mataifa yao.


Akatunga mithali yake, akasema, Balaki amenileta kutoka Aramu, Mfalme wa Moabu kutoka milima ya mashariki, Njoo! Unilaanie Yakobo, Njoo! Unishutumie Israeli.