Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 1:10 - Swahili Revised Union Version

Mungu akapaita pale pakavu Nchi; na makusanyiko ya maji akayaita Bahari; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mungu akapaita mahali pakavu “Nchi” na kusanyiko la maji akaliita “Bahari.” Mungu akaona kuwa ni vyema.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mungu akapaita mahali pakavu “Nchi” na kusanyiko la maji akaliita “Bahari.” Mungu akaona kuwa ni vyema.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mungu akapaita mahali pakavu “Nchi” na kusanyiko la maji akaliita “Bahari.” Mungu akaona kuwa ni vyema.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mungu akaiita nchi kavu “ardhi”, nalo lile kusanyiko la maji akaliita “bahari.” Mungu akaona kuwa ni vyema.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwenyezi Mungu akaiita nchi kavu “ardhi,” nalo lile kusanyiko la maji akaliita “bahari.” Mwenyezi Mungu akaona kuwa ni vyema.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mungu akapaita pale pakavu Nchi; na makusanyiko ya maji akayaita Bahari; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 1:10
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akaiona nuru, ya kuwa ni njema; Mungu akatenga nuru na giza.


Utukufu wa BWANA na udumu milele; BWANA na ayafurahie matendo yake.


Aliyezifanya mbingu na nchi, Bahari na vitu vyote vilivyomo. Huishika kweli milele,


Hukusanya maji ya bahari chungu chungu, Huviweka vilindi katika ghala.


Bahari ni yake, ndiye aliyeifanya, Na mikono yake iliumba nchi kavu.


Akawaambia, Mimi ni Mwebrania; nami namcha BWANA, Mungu wa mbingu, aliyeziumba bahari na nchi kavu.


Yeye Mwamba, kazi yake ni kamilifu; Maana, njia zake zote ni haki. Mungu wa uaminifu, asiye na uovu, Yeye ndiye mwenye haki na adili.