Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mika 3:10 - Swahili Revised Union Version

Wanaoijenga Sayuni kwa damu, na Yerusalemu kwa uovu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nyinyi mnajenga mji wa Siyoni kwa damu, naam, mji wa Yerusalemu kwa dhuluma.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nyinyi mnajenga mji wa Siyoni kwa damu, naam, mji wa Yerusalemu kwa dhuluma.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nyinyi mnajenga mji wa Siyoni kwa damu, naam, mji wa Yerusalemu kwa dhuluma.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

mnaojenga Sayuni kwa kumwaga damu na Yerusalemu kwa uovu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

mnaojenga Sayuni kwa kumwaga damu na Yerusalemu kwa uovu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wanaoijenga Sayuni kwa damu, na Yerusalemu kwa uovu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mika 3:10
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nawe utasema, Bwana MUNGU asema hivi; Mji umwagao damu ndani yake, ili wakati wake upate kuja; mji ufanyao vinyago juu ya nafsi yake, ili ujitie unajisi!


Mtu amchaye Mungu ametoweka, asionekane katika nchi, wala hapana mtu mwenye adili katika wanadamu; wote huotea ili kumwaga damu; kila mtu humwinda ndugu yake kwa wavu.


Wakuu wake walio ndani yake ni simba wangurumao; mahakimu wake ni mbwamwitu wa jioni; wasiobakiza kitu chochote mpaka asubuhi.


Watu wote wakajibu wakasema, Damu yake na iwe juu yetu, na juu ya watoto wetu.


wala hamfikiri ya kwamba yafaa mtu mmoja afe kwa ajili ya watu, wala lisiangamie taifa zima.