Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 4:2 - Swahili Revised Union Version

Kwa hiyo nikawasifu wafu waliokwisha kufa kuliko wenye uhai walio hai bado;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, nikafikiri moyoni kuwa wafu waliokwenda wasikorudi, wana nafuu zaidi kuliko watu walio hai.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, nikafikiri moyoni kuwa wafu waliokwenda wasikorudi, wana nafuu zaidi kuliko watu walio hai.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, nikafikiri moyoni kuwa wafu waliokwenda wasikorudi, wana nafuu zaidi kuliko watu walio hai.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nami nikasema kwamba wafu, waliokwisha kufa, wana furaha kuliko watu walio hai, ambao bado wanaishi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nami nikasema kwamba wafu, waliokwisha kufa, wana furaha kuliko watu walio hai, ambao bado wanaishi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa hiyo nikawasifu wafu waliokwisha kufa kuliko wenye uhai walio hai bado;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 4:2
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, nikauchukia uhai; kwa sababu kazi inayotendeka chini ya jua ilikuwa mbaya kwangu; yaani, mambo yote ni ubatili na kufukuza upepo.


Heri sifa njema kuliko manukato ya thamani; Na siku ya kufa kuliko siku ya kuzaliwa.


Msimlilie aliyekufa, wala msimwombolezee, Bali mlilieni huyo aendaye zake mbali; Kwa maana yeye hatarudi tena, Wala hataiona nchi aliyozaliwa.