Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 3:1 - Swahili Revised Union Version

Kwa kila jambo kuna majira yake, Na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kila kitu kina majira yake, kila jambo duniani lina wakati wake:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kila kitu kina majira yake, kila jambo duniani lina wakati wake:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kila kitu kina majira yake, kila jambo duniani lina wakati wake:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kuna wakati kwa ajili ya kila jambo, nayo majira kwa kila tendo chini ya mbingu:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kuna wakati kwa ajili ya kila jambo, nayo majira kwa kila tendo chini ya mbingu:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa kila jambo kuna majira yake, Na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 3:1
12 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia, Je! Moyo wangu haukuenda na wewe, hapo alipogeuka yule mtu katika gari ili akulaki? Je! Huu ndio wakati wa kupokea fedha, na kupokea mavazi, na mashamba ya mizeituni, na mizabibu, na kondoo, na ng'ombe, na watumwa, na wajakazi?


Hata alipokuwa katika taabu, akamsihi BWANA, Mungu wake, akajinyenyekeza sana mbele za Mungu wa baba zake.


Mtu hulifurahia jibu la kinywa chake; Na neno linenwalo wakati wa kufaa ni jema kama nini!


Tengeneza kazi yako huko nje, Jifanyizie kazi yako tayari shambani, Ukiisha, jenga nyumba yako.


Nikatia moyo wangu ili kuyatafuta yote yanayotendeka chini ya mbingu, na kuyavumbua kwa hekima; ni taabu kubwa ambayo Mungu amewapa wanadamu, ili kutaabika ndani yake.


Basi, nikauchukia uhai; kwa sababu kazi inayotendeka chini ya jua ilikuwa mbaya kwangu; yaani, mambo yote ni ubatili na kufukuza upepo.


Moyoni mwangu nikapeleleza jinsi ya kuuburudisha mwili kwa mvinyo, na (moyo wangu ungali ukiniongoza kwa hekima) jinsi ya kushikana na upumbavu, hata niyaone yaliyo mema ya kuwafaa wanadamu, ili wayafanye hayo chini ya mbingu siku zote za maisha yao.


Nikasema moyoni mwangu, Mungu atawahukumu wenye haki na wasio haki; kwa kuwa kuna wakati huko kwa kila kusudi na kwa kila kazi.


Siku ya kufanikiwa ufurahi, Na siku ya mabaya ufikiri. Mungu ameifanya hiyo moja kwenda sambamba na hiyo ya pili, ili mwanadamu asipate kulijua neno lolote litakalofuata baada yake.


Wakalia huko, Farao, mfalme wa Misri, ni kishindo tu; muda alioandikiwa ameuacha upite.


Na asubuhi, mnasema, Leo kutakuwa na dhoruba; kwa maana mbingu ni nyekundu, tena kumetanda. Enyi wanafiki, mnajua kuutambua uso wa mbingu; lakini, je! Ishara za nyakati hizi hamwezi kuzitambua?]