Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 10:4 - Swahili Revised Union Version

Roho yake mtawala ikiinuka kinyume chako, Usiondoke mara mahali pako ulipo; Kwa maana roho ya upole hutuliza machukizo yaliyo makubwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtawala akikuwakia hasira, usijiuzulu; makosa makubwa huweza kufutwa ukiwa mnyenyekevu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtawala akikuwakia hasira, usijiuzulu; makosa makubwa huweza kufutwa ukiwa mnyenyekevu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtawala akikuwakia hasira, usijiuzulu; makosa makubwa huweza kufutwa ukiwa mnyenyekevu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama hasira ya mtawala ikiwaka dhidi yako, usiache mahali pako, utulivu huweza kuzuia makosa mengi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama hasira ya mtawala ikiwaka dhidi yako, usiache mahali pako, utulivu huweza kuzuia makosa mengi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Roho yake mtawala ikiinuka kinyume chako, Usiondoke mara mahali pako ulipo; Kwa maana roho ya upole hutuliza machukizo yaliyo makubwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 10:4
5 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu wa hasira huchochea ugomvi; Bali asiye mwepesi wa hasira hutuliza mashindano.


Kwa uvumilivu mwingi mkuu husadikishwa; Na ulimi laini huvunja mfupa.


Liko baa nililoliona chini ya jua, nalo ni kama kosa litokalo kwake yeye atawalaye;


Usifanye haraka kutoka mbele ya uso wake; usiendelee kufanya lililo baya; maana yeye hufanya lolote limpendezalo.