Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 1:6 - Swahili Revised Union Version

Upepo huvuma kuelekea kusini, kisha huvuma kuelekea kaskazini; hugeuka daima katika mwendo wake, nao huyarudia mazunguko yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Upepo wavuma kusini, wazunguka hadi kaskazini. Wavuma na kuvuma tena, warudia mzunguko wake daima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Upepo wavuma kusini, wazunguka hadi kaskazini. Wavuma na kuvuma tena, warudia mzunguko wake daima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Upepo wavuma kusini, wazunguka hadi kaskazini. Wavuma na kuvuma tena, warudia mzunguko wake daima.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Upepo huvuma kuelekea kusini na kugeukia kaskazini; hurudia mzunguko huo huo, daima ukirudia njia yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Upepo huvuma kuelekea kusini na kugeukia kaskazini, hurudia mzunguko huo huo, daima ukirudia njia yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Upepo huvuma kuelekea kusini, kisha huvuma kuelekea kaskazini; hugeuka daima katika mwendo wake, nao huyarudia mazunguko yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 1:6
11 Marejeleo ya Msalaba  

Jinsi nguo zako zilivyo na moto, Hapo nchi ituliapo kwa sababu ya upepo wa kusini?


Dhoruba hutoka katika vyumba vyake; Na baridi ghalani mwake.


Maana alisema, akavumisha upepo wa dhoruba, Ukayainua juu mawimbi ya bahari.


Huituliza dhoruba, ikawa shwari, Mawimbi yake yakanyamaza.


Mito yote huingia baharini, lakini bahari haijai; huko iendako mito, ndiko irudiko tena.


Kama vile wewe usipojua njia ya upepo ni ipi, wala jinsi mifupa ikuavyo tumboni mwake mja mzito; kadhalika huijui kazi ya Mungu, afanyaye mambo yote.


Lakini BWANA alituma upepo mkuu baharini, ikawa tufani kubwa baharini, hata merikebu ikawa karibu kuvunjika.


Basi kila asikiaye hayo maneno yangu, na kuyafanya, atafananishwa na mtu mwenye akili, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba;


mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, pepo zikavuma, zikaipiga nyumba ile, ikaanguka; nalo anguko lake likawa kubwa.


Upepo huvuma upendako, na sauti yake waisikia, lakini hujui unakotoka wala unakokwenda; kadhalika na hali yake kila mtu aliyezaliwa kwa Roho.