Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 1:5 - Swahili Revised Union Version

Jua lachomoza, na jua lashuka, na kufanya haraka kwenda mahali pa maawio yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Jua lachomoza na kutua; laharakisha kwenda machweoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Jua lachomoza na kutua; laharakisha kwenda machweoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Jua lachomoza na kutua; laharakisha kwenda machweoni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Jua huchomoza na jua huzama, nalo huharakisha kurudi mawioni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Jua huchomoza na jua huzama, nalo huharakisha kurudi mawioni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Jua lachomoza, na jua lashuka, na kufanya haraka kwenda mahali pa mawio yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 1:5
9 Marejeleo ya Msalaba  

Muda nchi idumupo, majira ya kupanda, na mavuno, wakati wa baridi na wakati wa joto, wakati wa kaskazi na wakati wa kusi, mchana na usiku, havitakoma.


Kama ayala aioneavyo shauku mito ya maji. Vivyo hivyo nafsi yangu inakuonea shauku, Ee Mungu.


Hata mshale umchome maini; Kama ndege aendaye haraka mtegoni; Wala hajui ya kuwa ni hasara ya nafsi yake.


BWANA asema hivi, Kama mkiweza kulivunja agano langu la mchana, na agano langu la usiku, hata usiwepo tena mchana na usiku kwa wakati wake,


Jua na mwezi vikasimama makaoni mwao; Mbele ya nuru ya mishale yako ilipotapakaa, Mbele ya mwangaza wa mkuki wako umeremetao.