Zaburi 42:1 - Swahili Revised Union Version1 Kama ayala aioneavyo shauku mito ya maji. Vivyo hivyo nafsi yangu inakuonea shauku, Ee Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Kama paa atamanivyo maji ya kijito, ndivyo ninavyokutamani, ee Mungu wangu! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Kama paa atamanivyo maji ya kijito, ndivyo ninavyokutamani, ee Mungu wangu! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Kama paa atamanivyo maji ya kijito, ndivyo ninavyokutamani, ee Mungu wangu! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Kama ayala anavyoonea shauku vijito vya maji, ndivyo nafsi yangu inavyokuonea shauku, Ee Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Kama vile ayala aoneavyo shauku vijito vya maji, ndivyo nafsi yangu ikuoneavyo shauku, Ee Mungu. Tazama sura |