Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 9:2 - Swahili Revised Union Version

Amechinja nyama zake, amechanganya divai yake, Ameiandalia meza yake pia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Amechinja wanyama wa karamu, divai yake ameitayarisha, ametandika meza yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Amechinja wanyama wa karamu, divai yake ameitayarisha, ametandika meza yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Amechinja wanyama wa karamu, divai yake ameitayarisha, ametandika meza yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ameandaa nyama na kuchanganya divai yake; pia ameandaa meza yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ameandaa nyama na kuchanganya divai yake; pia ameandaa meza yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Amechinja nyama zake, amechanganya divai yake, Ameiandalia meza yake pia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 9:2
8 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yusufu alipomwona Benyamini pamoja nao, akamwambia msimamizi wa nyumba yake, Uwalete watu hawa nyumbani, ukachinje mnyama na kuwaandalia, maana watu hawa watakula pamoja nami adhuhuri.


Ni wale wakaao sana kwenye mvinyo; Waendao kutafuta divai iliyochanganyika.


Njoo ule mkate wangu, Ukanywe divai niliyoichanganya.


Ningekuongoza nyumbani mwa mamangu, Naye angenifundisha; Ningekunywesha divai iliyokolea, Divai mpya ya mkomamanga wangu.


Na katika mlima huu BWANA wa majeshi atawafanyia mataifa yote karamu ya vitu vinono, karamu ya divai iliyokaa juu ya urojorojo wake, karamu ya vinono vilivyojaa mafuta, karamu ya divai iliyokaa juu ya urojorojo wake, iliyochujwa sana.