Methali 23:30 - Swahili Revised Union Version30 Ni wale wakaao sana kwenye mvinyo; Waendao kutafuta divai iliyochanganyika. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 Ni wale ambao hawabanduki penye divai, wale wakaao chonjo kuonja divai iliyokolezwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 Ni wale ambao hawabanduki penye divai, wale wakaao chonjo kuonja divai iliyokolezwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 Ni wale ambao hawabanduki penye divai, wale wakaao chonjo kuonja divai iliyokolezwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Ni hao wanaokaa sana kwenye mvinyo, hao wanaoenda kuonja mabakuli ya mvinyo uliochanganywa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Ni hao wakaao sana kwenye mvinyo, hao waendao kuonja mabakuli ya mvinyo uliochanganywa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI30 Ni wale wakaao sana kwenye mvinyo; Waendao kutafuta divai iliyochanganyika. Tazama sura |