Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 9:10 - Swahili Revised Union Version

Kumcha BWANA ni mwanzo wa hekima; Na kumjua Mtakatifu ni ufahamu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kumcha Mwenyezi-Mungu ni msingi wa hekima; na kumjua yule Mtakatifu ni kupata akili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kumcha Mwenyezi-Mungu ni msingi wa hekima; na kumjua yule Mtakatifu ni kupata akili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kumcha Mwenyezi-Mungu ni msingi wa hekima; na kumjua yule Mtakatifu ni kupata akili.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Kumcha Mwenyezi Mungu ndicho chanzo cha hekima, na kumjua Aliye Mtakatifu ni ufahamu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Kumcha bwana ndicho chanzo cha hekima, na kumjua Aliye Mtakatifu ni ufahamu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kumcha BWANA ni mwanzo wa hekima; Na kumjua Mtakatifu ni ufahamu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 9:10
11 Marejeleo ya Msalaba  

Nawe, Sulemani mwanangu, mjue Mungu wa baba yako, ukamtumikie kwa moyo mkamilifu, na kwa nia ya kumkubali; kwa kuwa BWANA huchunguza mioyo yote, na kuyatambua mawazo yote ya fikira; ukimtafuta, atakuwa nawe; ukimwacha, atakutupa milele.


Kisha akamwambia mwanadamu, Tazama, kumcha Bwana ndiyo hekima, Na kujitenga na uovu ndio ufahamu.


Kumcha BWANA ndio mwanzo wa hekima, Wote wafanyao hayo wana ufahamu mzuri, Sifa zake zadumu milele.


Ni nani atamaniye uzima na atakaye kuishi, Siku nyingi afurahie mema?


Kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa, Bali wapumbavu hudharau hekima na adabu.


Ndipo utakapofahamu kumcha BWANA, Na kupata kumjua Mungu.


Wala sikujifunza hekima; Wala sina maarifa ya kumjua Mtakatifu.


Hii ndiyo jumla ya maneno; yote yamekwisha sikiwa; Mche Mungu, nawe uzishike amri zake, Maana kwa jumla ndiyo impasayo mtu.


Akasema, Nimekabidhiwa vyote na Baba yangu; wala hakuna amjuaye Mwana, ila Baba; wala hakuna amjuaye Baba, ila Mwana, na yeyote ambaye Mwana apenda kumfunulia.


Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.


Nasi tunajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, naye ametupa akili kwamba tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, yaani, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye Mungu wa kweli, na uzima wa milele.