Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 8:3 - Swahili Revised Union Version

Karibu na malango, mahali pa kuingia mjini, Mahali pa kuyaingilia malango anapiga kelele.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Karibu na malango ya kuingilia mjini, mahali wanapoingia watu anaita kwa sauti:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Karibu na malango ya kuingilia mjini, mahali wanapoingia watu anaita kwa sauti:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Karibu na malango ya kuingilia mjini, mahali wanapoingia watu anaita kwa sauti:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kando ya malango yaelekeayo mjini, kwenye maingilio, hulia kwa sauti kubwa, akisema:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kando ya malango yaelekeayo mjini, kwenye maingilio, hulia kwa sauti kubwa, akisema:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Karibu na malango, mahali pa kuingia mjini, Mahali pa kuyaingilia malango anapiga kelele.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 8:3
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati nilipotoka kwenda mjini, kupitia langoni, Nilipokitengeza kiti changu katika njia kuu,


Hulia penye mikutano mikubwa ya watu, Mahali pa kuyaingilia malango, Ndani ya mji hutamka maneno yake.


Enyi watu, nawaita ninyi; Na sauti yangu ni kwa wanadamu.


Basi Nendeni hata njia panda za barabara, na wote mwaonao waiteni arusini.


Yesu akamjibu, Mimi nimesema na ulimwengu waziwazi; sikuzote nilifundisha katika sinagogi na katika hekalu, wakusanyikapo Wayahudi wote; wala mimi sikusema neno lolote kwa siri.


Nendeni mkasimame hekaluni mkawaambie watu maneno yote ya Uzima huu.