Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 6:5 - Swahili Revised Union Version

Ujiponye kama paa na mkono wa mwindaji, Na kama ndege katika mkono wa mtega mitego.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Jiokoe kwa kujitoa katika mtego huo, mithili ya paa ama ndege amtorokavyo mwindaji.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Jiokoe kwa kujitoa katika mtego huo, mithili ya paa ama ndege amtorokavyo mwindaji.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Jiokoe kwa kujitoa katika mtego huo, mithili ya paa ama ndege amtorokavyo mwindaji.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Jiweke huru, kama paa kutoka mkononi mwa mwindaji, kama ndege kutoka mtego wa mwindaji.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Jiweke huru, kama swala mkononi mwa mwindaji, kama ndege kutoka kwenye mtego wa mwindaji.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ujiponye kama paa na mkono wa mwindaji, Na kama ndege katika mkono wa mtega mitego.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 6:5
6 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA ndiye niliyemkimbilia. Mbona mnaiambia nafsi yangu, Kimbia kama ndege mlimani kwenu?


Nafsi yetu imeokoka kama ndege Katika mtego wa wawindaji, Mtego umevunjika, nasi tumeokoka.


Maana Yeye atakuokoa kutoka kwa mtego wa mwindaji, Na katika maradhi mabaya.


Kwa kuwa mtego hutegwa bure, Mbele ya macho ya ndege yeyote.


Nawasihi, enyi binti za Yerusalemu, Kwa paa na kwa ayala wa porini, Msiyachochee mapenzi, wala kuyaamsha, Hata yatakapoona vema yenyewe.


Mpendwa wangu ni kama paa, au ayala. Tazama, asimama nyuma ya ukuta wetu, Achungulia dirishani, atazama kimiani.