Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 4:2 - Swahili Revised Union Version

Kwa kuwa nawapa mafundisho mazuri; Msiiache sheria yangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana ninawapa maagizo mema, msiyakatae mafundisho yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana ninawapa maagizo mema, msiyakatae mafundisho yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana ninawapa maagizo mema, msiyakatae mafundisho yangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ninawapa mafundisho ya maana, kwa hiyo msiyaache mafundisho yangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ninawapa mafundisho ya maana, kwa hiyo msiyaache mafundisho yangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa kuwa nawapa mafundisho mazuri; Msiiache sheria yangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 4:2
15 Marejeleo ya Msalaba  

Nawe, Sulemani mwanangu, mjue Mungu wa baba yako, ukamtumikie kwa moyo mkamilifu, na kwa nia ya kumkubali; kwa kuwa BWANA huchunguza mioyo yote, na kuyatambua mawazo yote ya fikira; ukimtafuta, atakuwa nawe; ukimwacha, atakutupa milele.


Lakini mkigeuka, na kuziacha sheria zangu na amri zangu nilizoweka mbele yenu, mkienda, na kuitumikia miungu mingine, na kuiabudu;


Kwa kuwa wewe wasema, Mafunzo yangu ni safi, Nami ni safi machoni pako.


Maneno yangu yatatamka uelekevu wa moyo wangu; Na hayo niyajuayo midomo yangu itayanena kwa unyofu.


Walikuwa karibu na kunikomesha katika nchi, Lakini sikuyaacha mausia yako.


Mwanangu, usiisahau sheria yangu, Bali moyo wako uzishike amri zangu.


Nasi tumeitii sauti ya Yonadabu, mwana wa Rekabu, baba yetu, katika yote aliyotuamuru, kwamba tusinywe divai siku zetu zote, sisi, na wake zetu, na wana wetu, na binti zetu;


Mafundisho yangu yatadondoka kama mvua, Maneno yangu yatatona-tona kama umande; Kama manyunyu juu ya majani mabichi; Kama matone ya mvua juu ya mimea.


Uwakumbushe ndugu mambo hayo, nawe utakuwa mtumishi mwema wa Kristo Yesu, na mzoefu wa maneno ya imani, na mafundisho mazuri yale uliyoyafuata.


akilishika lile neno la imani vile vile kama alivyofundishwa, apate kuweza kuwaonya watu kwa mafundisho yenye uzima, na kuwashinda wenye kupinga.