Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 31:2 - Swahili Revised Union Version

Ni nini, mwanangu? Tena ni nini, mwana wa tumbo langu? Tena, ni nini mwana wa nadhiri zangu?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nikuambie nini mwanangu? Nikuambie nini mwanangu niliyekuzaa? Nikuambie nini wewe niliyekuomba kwa Mungu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nikuambie nini mwanangu? Nikuambie nini mwanangu niliyekuzaa? Nikuambie nini wewe niliyekuomba kwa Mungu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nikuambie nini mwanangu? Nikuambie nini mwanangu niliyekuzaa? Nikuambie nini wewe niliyekuomba kwa Mungu?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Sikiliza, ee mwanangu! Sikiliza, ee mwana wa tumbo langu! Sikiliza, ee mwana wa nadhiri zangu!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Ee mwanangu, ee mwana wa tumbo langu, ee mwana wa nadhiri zangu:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ni nini, mwanangu? Tena ni nini, mwana wa tumbo langu? Tena, ni nini mwana wa nadhiri zangu?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 31:2
4 Marejeleo ya Msalaba  

Maneno ya mfalme Lemueli; mausia aliyofundishwa na mama yake.


Je! Mwanamke aweza kumsahau mtoto wake anyonyaye, hata asimhurumie mwana wa tumbo lake? Naam, hawa waweza kusahau, lakini mimi sitakusahau wewe.


Akaweka nadhiri, akasema, Ee BWANA wa majeshi, ikiwa wewe utayaangalia mateso la mjakazi wako, na kunikumbuka, wala usinisahau mimi mjakazi wako, na kunipa mimi mjakazi wako mtoto wa kiume, ndipo mimi nitakapompa BWANA huyo mtoto siku zote za maisha yake, wala wembe hautamfikia kichwani kamwe.


kwa sababu hiyo mimi nami nimempa BWANA mtoto huyu; wakati wote atakaokuwa hai amepewa BWANA. Naye akamwabudu BWANA huko.