Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 31:1 - Swahili Revised Union Version

Maneno ya mfalme Lemueli; mausia aliyofundishwa na mama yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maneno ya mfalme Lemueli. Mawaidha aliyofundishwa na mama yake:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maneno ya mfalme Lemueli. Mawaidha aliyofundishwa na mama yake:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maneno ya mfalme Lemueli. Mawaidha aliyofundishwa na mama yake:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Misemo ya Mfalme Lemueli, usia wa mama yake aliyomfundisha:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Misemo ya Mfalme Lemueli, usia wa mama yake aliyomfundisha:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maneno ya mfalme Lemueli; mausia aliyofundishwa na mama yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 31:1
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mwanangu, yasikilize mafundisho ya baba yako, Wala usiiache sheria ya mama yako,


Maneno ya Aguri mwana wa Yake; mausia mtu huyu aliyomwambia Ithieli, naam, Ithieli na Ukali.


Kwa maana kupiga maziwa huleta siagi; Na kupiga pua hutokeza damu; kadhalika kuchochea hasira hutokeza ugomvi.


Ni nini, mwanangu? Tena ni nini, mwana wa tumbo langu? Tena, ni nini mwana wa nadhiri zangu?


Mwanangu, shika maagizo ya baba yako, Wala usiiache sheria ya mama yako.


nikiikumbuka imani uliyo nayo isiyo na unafiki, ambayo ilikaa kwanza katika nyanya yako Loisi, na katika mama yako Eunike, nami nasadiki wewe nawe unayo.


na ya kuwa tangu utotoni umeyajua Maandiko Matakatifu, ambayo yaweza kukuhekimisha hata upate wokovu kwa imani iliyo katika Kristo Yesu.