Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 3:26 - Swahili Revised Union Version

Kwa kuwa BWANA atakuwa tumaini lako, Naye atakulinda mguu wako usinaswe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana Mwenyezi-Mungu ndiye atakayekutegemeza; atakuepusha usije ukanaswa mtegoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana Mwenyezi-Mungu ndiye atakayekutegemeza; atakuepusha usije ukanaswa mtegoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana Mwenyezi-Mungu ndiye atakayekutegemeza; atakuepusha usije ukanaswa mtegoni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa kuwa Mwenyezi Mungu atakuwa tumaini lako na kuepusha mguu wako kunaswa katika mtego.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa kuwa bwana atakuwa tumaini lako na kuepusha mguu wako kunaswa katika mtego.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa kuwa BWANA atakuwa tumaini lako, Naye atakulinda mguu wako usinaswe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 3:26
7 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Dini yako siyo tegemeo lako? Na matumaini yako si huo uelekevu wa njia zako?


Hatauacha mguu wako usogezwe; Akulindaye hatasinzia;


Maana Yeye atakuokoa kutoka kwa mtego wa mwindaji, Na katika maradhi mabaya.


Kumcha BWANA ni tumaini imara; Watoto wake watakuwa na kimbilio.


Yeye atailinda miguu ya watakatifu wake; Bali waovu watanyamazishwa gizani, Maana kwa nguvu hakuna atakayeshinda;