Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 27:7 - Swahili Revised Union Version

Nafsi iliyoshiba hukinai sega la asali; Bali nafsi yenye njaa huona kila kitu kichungu kuwa kitamu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Aliyeshiba hata asali huikataa, lakini kwa mwenye njaa kila kichungu ni kitamu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Aliyeshiba hata asali huikataa, lakini kwa mwenye njaa kila kichungu ni kitamu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Aliyeshiba hata asali huikataa, lakini kwa mwenye njaa kila kichungu ni kitamu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye aliyeshiba huchukia kabisa asali, bali kwa mwenye njaa hata kile kilicho kichungu kwake ni kitamu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye aliyeshiba huchukia kabisa asali, bali kwa mwenye njaa hata kile kilicho kichungu kwake ni kitamu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nafsi iliyoshiba hukinai sega la asali; Bali nafsi yenye njaa huona kila kitu kichungu kuwa kitamu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 27:7
9 Marejeleo ya Msalaba  

Roho yangu inakataa hata kuvigusa; Kwangu mimi ni kama chakula kichukizacho.


Mwanangu, ule asali, kwa maana ni njema, Na sega la asali lililo tamu ulionjapo.


Majeraha utiwazo na rafiki ni ya kweli; Bali busu la adui ni udanganyifu.


Kama ndege aendaye huku na huko mbali na kitundu chake; Ndivyo alivyo mtu aendaye huku na huko mbali na mahali pake.


Watu wakamnung'unikia Mungu, na Musa, Mbona mmetupandisha huku kutoka nchi ya Misri, ili tufe jangwani? Maana hapana chakula, wala hapana maji, na roho zetu zinakinai chakula hiki dhaifu.


Yupo hapa mtoto, ana mikate mitano ya shayiri na samaki wawili, lakini hivi ni nini kwa watu wengi kama hawa?