Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 26:15 - Swahili Revised Union Version

Mtu mvivu hutia mkono wake katika sahani; Kwamchosha kuupeleka tena kinywani pake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mvivu huutia mkono wake katika sahani ya chakula, lakini hawezi kuuinua hadi mdomoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mvivu huutia mkono wake katika sahani ya chakula, lakini hawezi kuuinua hadi mdomoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mvivu huutia mkono wake katika sahani ya chakula, lakini hawezi kuuinua hadi mdomoni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtu mvivu hutumbukiza mkono wake kwenye sahani, naye huchoka kuupeleka kwenye kinywa chake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtu mvivu hutumbukiza mkono wake kwenye sahani, naye huchoka kuupeleka kwenye kinywa chake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtu mvivu hutia mkono wake katika sahani; Kwamchosha kuupeleka tena kinywani pake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 26:15
2 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akaghairi kwa kuwa amemwumba mwanadamu duniani, akahuzunika moyo.


Mtu mvivu hutia mkono wake katika sahani; Wala hataki hata kuupeleka kinywani pake.