Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 26:11 - Swahili Revised Union Version

Kama vile mbwa arudiavyo matapiko yake; Kadhalika mpumbavu afanya upumbavu tena.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mpumbavu anayerudiarudia upumbavu wake, ni kama mbwa anayekula matapishi yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mpumbavu anayerudiarudia upumbavu wake, ni kama mbwa anayekula matapishi yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mpumbavu anayerudiarudia upumbavu wake, ni kama mbwa anayekula matapishi yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama mbwa ayarudiavyo matapiko yake, ndivyo mpumbavu arudiavyo upumbavu wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama mbwa ayarudiavyo matapiko yake, ndivyo mpumbavu arudiavyo upumbavu wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kama vile mbwa arudiavyo matapishi yake; Kadhalika mpumbavu afanya upumbavu tena.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 26:11
7 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Farao alipoona ya kuwa pana nafuu, akaufanya moyo wake kuwa mzito, asiwasikize; kama BWANA alivyonena.


Utasema, Wamenichapa wala sikuumia; Wamenipiga wala sina habari; Nitaamka lini, nitazidi kuitafuta tena.


Fundi stadi hufanyiza vitu vyote; Bali amwajiriye mpumbavu ni kama awaajiriye watu wapitao.


Hata ukimtwanga mpumbavu kwa mchi kinuni pamoja na ngano; Upumbavu wake hautamtoka.


Maana meza zote zimejaa matapiko na uchafu, hapana mahali palipo safi.


Mara huenda, akachukua pamoja naye pepo wengine saba walio waovu kuliko yeye mwenyewe, nao huingia na kukaa humo; na mtu yule hali yake ya mwisho huwa mbaya kuliko ya kwanza. Ndivyo itakavyokuwa kwa kizazi hiki kilicho kibaya.


Lakini imetukia kwao sawasawa na ile mithali ya kweli, Mbwa ameyarudia matapiko yake mwenyewe, na nguruwe aliyeoshwa amerudi kugaagaa matopeni.