Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 24:29 - Swahili Revised Union Version

Usiseme, Nitamtenda kama alivyonitenda mimi; Nitamlipa mtu huyo sawasawa na tendo lake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Usiseme, “Nitamtenda kama alivyonitenda! Ni lazima nilipize kisasi!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Usiseme, “Nitamtenda kama alivyonitenda! Ni lazima nilipize kisasi!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Usiseme, “Nitamtenda kama alivyonitenda! Ni lazima nilipize kisasi!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usiseme, “Nitamtenda kama alivyonitenda mimi; nitamlipiza mtu yule kwa kile alichonitendea.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usiseme, “Nitamtenda kama alivyonitenda mimi; nitamlipiza mtu yule kwa kile alichonitendea.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Usiseme, Nitamtenda kama alivyonitenda mimi; Nitamlipa mtu huyo sawasawa na tendo lake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 24:29
7 Marejeleo ya Msalaba  

Usiseme, Mimi nitalipa mabaya; Mngojee BWANA, naye atakuokoa.


Angalieni mtu awaye yote asimlipe mwenziwe mabaya kwa mabaya; bali siku zote lifuateni lililo jema, ninyi kwa ninyi na kwa watu wote.


Ndipo watu elfu tatu wa Yuda wakateremka hadi katika ule ufa wa jabali la Etamu, wakamwambia Samsoni, Je! Hujui ya kuwa Wafilisti wanatutawala? Ni nini hii, basi, uliyotutenda? Akawaambia, Kadiri ile walivyonitenda mimi, ndivyo nilivyowatenda wao.