Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 24:29 - Swahili Revised Union Version

29 Usiseme, Nitamtenda kama alivyonitenda mimi; Nitamlipa mtu huyo sawasawa na tendo lake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Usiseme, “Nitamtenda kama alivyonitenda! Ni lazima nilipize kisasi!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Usiseme, “Nitamtenda kama alivyonitenda! Ni lazima nilipize kisasi!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Usiseme, “Nitamtenda kama alivyonitenda! Ni lazima nilipize kisasi!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Usiseme, “Nitamtenda kama alivyonitenda mimi; nitamlipiza mtu yule kwa kile alichonitendea.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Usiseme, “Nitamtenda kama alivyonitenda mimi; nitamlipiza mtu yule kwa kile alichonitendea.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

29 Usiseme, Nitamtenda kama alivyonitenda mimi; Nitamlipa mtu huyo sawasawa na tendo lake.

Tazama sura Nakili




Methali 24:29
7 Marejeleo ya Msalaba  

Usiseme, Mimi nitalipa mabaya; Mngojee BWANA, naye atakuokoa.


Angalieni mtu awaye yote asimlipe mwenziwe mabaya kwa mabaya; bali siku zote lifuateni lililo jema, ninyi kwa ninyi na kwa watu wote.


Ndipo watu elfu tatu wa Yuda wakateremka hadi katika ule ufa wa jabali la Etamu, wakamwambia Samsoni, Je! Hujui ya kuwa Wafilisti wanatutawala? Ni nini hii, basi, uliyotutenda? Akawaambia, Kadiri ile walivyonitenda mimi, ndivyo nilivyowatenda wao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo