Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 23:32 - Swahili Revised Union Version

Mwisho wake huuma kama nyoka; Huchoma kama fira.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwishowe huuma kama nyoka; huchoma kama nyoka mwenye sumu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwishowe huuma kama nyoka; huchoma kama nyoka mwenye sumu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwishowe huuma kama nyoka; huchoma kama nyoka mwenye sumu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwishowe huuma kama nyoka na kutia sumu yake kama nyoka mwenye sumu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwishowe huuma kama nyoka na kutia sumu yake kama nyoka mwenye sumu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwisho wake huuma kama nyoka; Huchoma kama fira.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 23:32
18 Marejeleo ya Msalaba  

Atanyonya sumu ya majoka; Na ulimi wa fira utamwua.


Utawakanyaga simba na nyoka, Mwanasimba na joka utawakanyaga kwa miguu.


Wakabwaga chini kila mtu fimbo yake, nazo zikawa nyoka; lakini fimbo ya Haruni ikazimeza fimbo zao.


Mvinyo hudhihaki, kileo huleta ugomvi; Na akosaye kwa vitu hivyo hana hekima.


Nawe ukaziombolea siku zako za mwisho, Nyama yako na mwili wako utakapoangamia;


Mwenye kuchimba shimo atatumbukia ndani yake; Na yeye abomoaye boma, nyoka atamwuma.


Na mtoto anyonyaye atacheza penye tundu la nyoka, na mtoto aliyeachishwa kunyonya atatia mkono wake katika pango la fira.


Taji la kiburi la walevi wa Efraimu litakanyagwa kwa miguu;


Huangua mayai ya fira, na kusuka wavu wa buibui; yeye alaye mayai yao hufa, na hilo livunjwalo hutoka nyoka.


Manabii wanatabiri uongo, na makuhani wanatawala kwa msaada wa hao; na watu wangu wanapenda mambo yawe hivyo. Nanyi mtafanya nini mwisho wake?


Maana, tazama, nitatuma nyoka, naam, fira, kati yenu, wasioweza kutumbuizwa kwa uganga; nao watawauma, asema BWANA.


Ni kama mtu aliyemkimbia simba, akakutana na dubu; au aliingia katika nyumba akauegemeza mkono wake ukutani, nyoka akamwuma.


Nao wajapojificha katika kilele cha Karmeli, nitawatafuta na kuwatoa toka huko; na wajapositirika katika vilindi vya bahari nisiwaone, nitamwagiza joka huko, naye atawauma.


Ni faida gani basi mliyopata siku zile kwa mambo hayo mnayoyatahayarikia sasa? Kwa maana mwisho wa mambo hayo ni mauti.


Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe Roho;