Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 23:10 - Swahili Revised Union Version

Usiiondoe alama ya mpaka wa zamani; Wala usiingie katika mashamba ya yatima;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Usiondoe alama ya mpaka wa zamani, wala usiingilie mashamba ya yatima,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Usiondoe alama ya mpaka wa zamani, wala usiingilie mashamba ya yatima,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Usiondoe alama ya mpaka wa zamani, wala usiingilie mashamba ya yatima,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usisogeze jiwe la mpaka wa zamani wala kunyemelea kwenye mashamba ya yatima,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usisogeze jiwe la mpaka wa zamani wala kunyemelea kwenye mashamba ya yatima,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Usiiondoe alama ya mpaka wa zamani; Wala usiingie katika mashamba ya yatima;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 23:10
17 Marejeleo ya Msalaba  

Umewafukuza wanawake wajane bila chochote, Na mikono ya mayatima imevunjwa.


Wako wamwondoao matitini kwa nguvu huyo asiye na baba, Na kutwaa rehani kwa maskini;


Naam, mwapenda kuwapigia kura hao mayatima, Na kufanya biashara ya rafiki yenu.


Wanamwua mjane na mgeni; Wanawaua yatima.


Usimtese mjane yeyote aliyefiwa na mumewe, wala mtoto yatima.


BWANA ataing'oa nyumba ya mwenye kiburi; Bali atauthibitisha mpaka wa mjane.


Usiiondoe alama ya mpaka wa zamani, Uliowekwa na baba zako.


BWANA asema hivi, Fanyeni hukumu na haki, mkamtoe yeye aliyetekwa katika mikono ya mdhalimu; wala msiwatende mabaya mgeni, wala yatima, wala mjane, wala kuwadhulumu, wala msimwage damu ya mtu asiye na hatia katika mahali hapa.


Maana kama mkitengeneza kabisa njia zenu na matendo yenu; kama mkihukumu hukumu ya haki kati ya mtu na jirani yake;


kama hamwonei mgeni, wala yatima, wala mjane, wala kumwaga damu isiyo na hatia mahali hapa, wala kuifuata miungu mingine kwa hasara yenu wenyewe;


tena msimdhulumu mjane, wala yatima, wala mgeni, wala maskini; wala mtu awaye yote miongoni mwenu asiwaze mabaya juu ya ndugu yake moyoni mwake.


Nami nitawakaribieni ili kuhukumu; nami sitasita kutoa ushahidi juu ya wachawi; na juu ya wazinzi, na juu ya waapao kwa uongo; juu ya wamwoneao mwajiriwa, kwa ajili ya mshahara wake, wamwoneao mjane na yatima, na kumpotosha mgeni asipate haki yake, wala hawaniogopi mimi, asema BWANA wa majeshi.


Usiiondoe alama ya mpaka wa jirani yako, waliouweka watu wa kale katika urithi wako, utakaorithi ndani ya nchi akupayo BWANA, Mungu wako, uimiliki.


Na alaaniwe aondoaye mpaka wa jirani yake. Na watu wote waseme, Amina.


Dini iliyo safi, isiyo na dosari mbele za Mungu Baba ni hii, Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda na dunia pasipo mawaa.