Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 22:21 - Swahili Revised Union Version

ili kukujulisha hakika ya maneno ya kweli, uwarudishie wakutumao maneno ya kweli?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

ili kukufundisha yaliyo sawa na kweli; na mtu akikuuliza uweze kumpa jibu sahihi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

ili kukufundisha yaliyo sawa na kweli; na mtu akikuuliza uweze kumpa jibu sahihi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

ili kukufundisha yaliyo sawa na kweli; na mtu akikuuliza uweze kumpa jibu sahihi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kukufundisha maneno ya kweli na ya kuaminika, ili uweze kutoa majibu sahihi kwake yeye aliyekutuma?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kukufundisha maneno ya kweli na ya kuaminika, ili uweze kutoa majibu sahihi kwake yeye aliyekutuma?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

ili kukujulisha hakika ya maneno ya kweli, uwarudishie wakutumao maneno ya kweli?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 22:21
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mithali za Sulemani, mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli.


kufundishwa matendo ya busara, katika haki na hukumu na adili.


Kama baridi ya theluji wakati wa mavuno; Ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwao wamtumao; Kwa maana huwaburudisha bwana zake nafsi zao.


Huyo Mhubiri akachunguza ili apate kuona maneno yapendezayo, na yale yaliyoandikwa kwa unyofu, yaani, maneno ya kweli.


Lakini hizi zimeandikwa ili mpate kuamini ya kwamba Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu; na kwa kuamini muwe na uzima kwa jina lake.


Muwe tayari siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo ndani yenu; lakini kwa upole na kwa heshima.


Nimewaandikia ninyi mambo hayo, ili mjue ya kuwa mna uzima wa milele, ninyi mnaoliamini Jina la Mwana wa Mungu.