Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 22:22 - Swahili Revised Union Version

22 Usimnyang'anye maskini, kwa kuwa ni maskini; Wala usimdhulumu mtu mnyonge langoni;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Usimdhulumu maskini kwa kuwa ni maskini, wala usimnyime fukara haki yake mahakamani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Usimdhulumu maskini kwa kuwa ni maskini, wala usimnyime fukara haki yake mahakamani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Usimdhulumu maskini kwa kuwa ni maskini, wala usimnyime fukara haki yake mahakamani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Usiwadhulumu maskini kwa sababu ni maskini, wala kumdhulumu mhitaji mahakamani,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Usiwadhulumu maskini kwa sababu ni maskini, wala kumdhulumu mhitaji mahakamani,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Usimnyang'anye maskini, kwa kuwa ni maskini; Wala usimdhulumu mtu mnyonge langoni;

Tazama sura Nakili




Methali 22:22
15 Marejeleo ya Msalaba  

Ikiwa nimewanyima maskini haja zao, Au kama nimeyatia kiwi macho ya mwanamke mjane;


Ikiwa nimewainulia mayatima mkono, Nilipoona msaada wangu langoni;


wala usimpendelee mtu mnyonge katika neno lake.


Usipotoe hukumu ya mtu maskini katika neno lake.


Jeuri ya wabaya itawaondolea mbali; Kwa sababu wamekataa kutenda hukumu.


Yeye awaoneaye maskini ili kuongeza mapato, Naye ampaye tajiri, hupata hasara.


ili kumpotosha mhitaji asipate haki yake, na kuwanyang'anya maskini wa watu wangu haki yao; ili wajane wawe mateka yao, na kuwafanya yatima waliofiwa na baba zao kuwa mawindo yao!


Watu wa nchi wametumia udhalimu, wamenyang'anya kwa nguvu; naam, wamewatenda jeuri maskini na wahitaji, nao wamewaonea wageni bila haki.


Usimdhulumu jirani yako, wala kumnyang'anya mali yake; ujira wake aliyeajiriwa usikae kwako usiku kucha hadi asubuhi.


Wala msidanganyane; lakini utamcha Mungu wako; kwa kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.


tena msimdhulumu mjane, wala yatima, wala mgeni, wala maskini; wala mtu awaye yote miongoni mwenu asiwaze mabaya juu ya ndugu yake moyoni mwake.


Nami nitawakaribieni ili kuhukumu; nami sitasita kutoa ushahidi juu ya wachawi; na juu ya wazinzi, na juu ya waapao kwa uongo; juu ya wamwoneao mwajiriwa, kwa ajili ya mshahara wake, wamwoneao mjane na yatima, na kumpotosha mgeni asipate haki yake, wala hawaniogopi mimi, asema BWANA wa majeshi.


na akae nawe, katikati yako, ndani ya malango yako mojawapo, mahali atakapochagua palipo pema machoni pake; usimwonee.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo