Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 20:29 - Swahili Revised Union Version

Fahari ya vijana ni nguvu zao, Na uzuri wa wazee ni kichwa chenye mvi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Fahari ya vijana ni nguvu zao, uzuri wa vikongwe ni mvi za uzee.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Fahari ya vijana ni nguvu zao, uzuri wa vikongwe ni mvi za uzee.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Fahari ya vijana ni nguvu zao, uzuri wa vikongwe ni mvi za uzee.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Utukufu wa vijana ni nguvu zao, mvi ni fahari ya uzee.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Utukufu wa vijana ni nguvu zao, mvi ni fahari ya uzee.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Fahari ya vijana ni nguvu zao, Na uzuri wa wazee ni kichwa chenye mvi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 20:29
6 Marejeleo ya Msalaba  

Hufanya mapito yake kung'aa nyuma yake Hata mtu angedhani kilindi kina mvi.


Kichwa chenye mvi ni taji la utukufu, Kama kikionekana katika njia ya haki.


Machubuko ya fimbo husafisha uovu, Na mapigo hufikia ndani ya mtima.


Mwondokeeni mtu mwenye mvi; heshimuni uso wa mtu mzee; nawe mche Mungu wako, Mimi ndimi BWANA.


Nimewaandikia ninyi, akina baba, kwa sababu mmemjua yeye aliye tangu mwanzo. Nimewaandikia ninyi, vijana, kwa sababu mna nguvu, na neno la Mungu linakaa ndani yenu, nanyi mmemshinda yule mwovu.