Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 20:17 - Swahili Revised Union Version

Chakula cha uongo ni kitamu kwa mtu; Lakini halafu kinywa chake kitajaa changarawe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Chakula kipatikanacho kwa udanganyifu ni kitamu, lakini baadaye huwa kama mchanga kinywani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Chakula kipatikanacho kwa udanganyifu ni kitamu, lakini baadaye huwa kama mchanga kinywani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Chakula kipatikanacho kwa udanganyifu ni kitamu, lakini baadaye huwa kama mchanga kinywani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Chakula kilichopatikana kwa hila ni kitamu kwa mwanadamu, bali huishia na kinywa kilichojaa changarawe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Chakula kilichopatikana kwa hila ni kitamu kwa mwanadamu, bali huishia na kinywa kilichojaa changarawe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Chakula cha uongo ni kitamu kwa mtu; Lakini halafu kinywa chake kitajaa changarawe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 20:17
8 Marejeleo ya Msalaba  

Twaa nguo yake amdhaminiye mgeni; Mtoze rehani aliye mdhamini wa wageni.


Maana wao hula mkate wa uovu, Nao hunywa divai ya ujeuri.


Wewe kijana, uufurahie ujana wako, na moyo wako ukuchangamshe siku za ujana wako, ukaziendee njia za moyo wako, na kinachotamaniwa na macho yako, lakini ujue wewe ya kwamba kwa ajili ya hayo yote Mungu atakuleta hukumuni.


akaona ni afadhali kupata mateso pamoja na watu wa Mungu kuliko kujifurahisha katika dhambi kwa muda;