Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 2:19 - Swahili Revised Union Version

Katika hao wamwendeao harudi hata mmoja, Wala hawazifikilii njia za uzima.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeyote amwendeaye kamwe harudi, wala hairudii tena njia ya uhai.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeyote amwendeaye kamwe harudi, wala hairudii tena njia ya uhai.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeyote amwendeaye kamwe harudi, wala hairudii tena njia ya uhai.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hakuna yeyote aendaye kwake akarudi, au kufikia mapito ya uzima.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hakuna yeyote aendaye kwake akarudi, au kufikia mapito ya uzima.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Katika hao wamwendeao harudi hata mmoja, Wala hawazifikilii njia za uzima.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 2:19
11 Marejeleo ya Msalaba  

Utanijulisha njia ya uzima; Mbele za uso wako kuna furaha tele; Na katika mkono wako wa kulia Mna mema ya milele.


Nikawaacha wakaenda kwa ukaidi wa mioyo yao, Waenende katika mashauri yao.


Bali njia ya wenye haki ni kama nuru ing'aayo, Ikizidi kung'aa hata mchana mkamilifu.


Nawe ukaziombolea siku zako za mwisho, Nyama yako na mwili wako utakapoangamia;


Hata asiweze kuiona njia sawa ya uzima; Njia zake ni za kutangatanga wala hana habari.


Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.


Nami nimeona lililo na uchungu kupita mauti; yaani, mwanamke ambaye moyo wake ni mitego na tanzi, na mikono yake ni kama vifungo; yeye ampendezaye Mungu atamponyoka, bali mwenye dhambi atanaswa na yeye.


Je! Mkushi aweza kuibadili ngozi yake, au chui madoadoa yake? Kama aweza, ndipo na ninyi mwaweza kutenda mema, ninyi mliozoea kutenda mabaya.


Sitawaadhibu binti zenu wazinipo, wala bibi arusi zenu wafanyapo uasherati; maana wenyewe huenda kando pamoja na wanawake wazinzi, hutoa dhabihu pamoja na makahaba; na watu hawa wasiofahamu wataangamia.


ili kwa vitu viwili visivyoweza kubadilika, ambavyo katika hivyo Mungu hawezi kusema uongo, tupate faraja iliyo imara, sisi tuliokimbilia kuyashika matumaini yale yawekwayo mbele yetu;