Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 2:15 - Swahili Revised Union Version

Waliopotoka katika njia zao; Walio wakaidi katika mapito yao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

watu ambao mienendo yao imepotoka, nazo njia zao haziaminiki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

watu ambao mienendo yao imepotoka, nazo njia zao haziaminiki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

watu ambao mienendo yao imepotoka, nazo njia zao haziaminiki.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ambao mapito yao yamepotoka, na ambao ni wapotovu katika njia zao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ambao mapito yao yamepotoka na ambao ni wapotovu katika njia zao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Waliopotoka katika njia zao; Walio wakaidi katika mapito yao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 2:15
8 Marejeleo ya Msalaba  

Bali wao wanaozigeukia njia zao zilizopotoka, BWANA atawaondoa pamoja na watenda maovu. Amani ikae na Israeli.


Yeye aendaye kwa unyofu wake humcha BWANA; Bali aliye mkaidi katika njia zake humdharau.


Njia yake aliyelemewa na dhambi imepotoka sana; Bali mtu aliye safi, kazi yake ni sawasawa.


Maneno yote ya kinywa changu yana haki; Hapana hata neno lililopotoka au la ukaidi.


Njia ya amani hawaijui; wala hapana hukumu ya haki katika mienendo yao; wamejifanyia njia zilizopotoka; kila apitaye katika njia hizo hajui amani.


Wametenda mambo ya uharibifu, Hawawi watoto wake, hii ndiyo ila yao; Wao ni kizazi chenye ukaidi, kilichopotoka.


mpate kuwa wana wa Mungu wasio na lawama, wala udanganyifu, wasio na ila kati ya kizazi chenye ukaidi, kilichopotoka; ambao kati ya hao mnaonekana kuwa kama mianga katika ulimwengu,