Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 19:9 - Swahili Revised Union Version

Shahidi wa uongo hakosi ataadhibiwa; Naye asemaye uongo ataangamia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Shahidi mwongo hatakosa kuadhibiwa; asemaye uongo ataangamia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Shahidi mwongo hatakosa kuadhibiwa; asemaye uongo ataangamia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Shahidi mwongo hatakosa kuadhibiwa; asemaye uongo ataangamia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Shahidi wa uongo hataacha kuadhibiwa, naye amwagaye uongo ataangamia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Shahidi wa uongo hataacha kuadhibiwa, naye amwagaye uongo ataangamia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Shahidi wa uongo hakosi ataadhibiwa; Naye asemaye uongo ataangamia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 19:9
16 Marejeleo ya Msalaba  

Mdomo wa kweli utathibitishwa milele; Bali ulimi wa uongo ni wa kitambo tu.


Shahidi wa uongo hakosi ataadhibiwa; Wala asemaye uongo hataokoka.


Shahidi wa uongo atapotea; Bali mtu asikiaye atasema maneno yadumuyo.


Shahidi wa uongo asemaye uongo; Naye apandaye mbegu za fitina kati ya ndugu.


Kwa kuwa ninyi mmemhuzunisha moyo mwenye haki kwa uongo, ambaye mimi sikumhuzunisha; na kuitia nguvu mikono ya mtu mbaya, hata asigeuke, na kuiacha njia yake mbaya, na kuhifadhika;


Mfalme akaamuru, nao wakawaleta wale watu waliomshitaki Danieli, wakawatupa katika tundu la simba, wao, na watoto wao, na wake zao; na wale simba wakawashinda wakaivunja mifupa yao vipande vipande, kabla hawajafika chini ya tundu.


Yule mnyama akakamatwa, na yule nabii wa uongo pamoja naye, yeye aliyezifanya hizo ishara mbele yake, ambazo kwa hizo aliwadanganya watu wale walioipokea ile chapa ya huyo mnyama, nao hao walioisujudia sanamu yake; hao wawili wakatupwa wakiwa hai katika lile ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti;


Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.


Huko nje wako mbwa, na wachawi, na wazinzi, na wauaji, na hao waabuduo sanamu, na kila mtu apendaye uongo na kuufanya.