Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 19:5 - Swahili Revised Union Version

Shahidi wa uongo hakosi ataadhibiwa; Wala asemaye uongo hataokoka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Shahidi mwongo hataacha kuadhibiwa; asemaye uongo hataepa adhabu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Shahidi mwongo hataacha kuadhibiwa; asemaye uongo hataepa adhabu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Shahidi mwongo hataacha kuadhibiwa; asemaye uongo hataepa adhabu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Shahidi wa uongo hataacha kuadhibiwa, naye amwagaye uongo hataachwa huru.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Shahidi wa uongo hataacha kuadhibiwa, naye amwagaye uongo hataachwa huru.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Shahidi wa uongo hakosi ataadhibiwa; Wala asemaye uongo hataokoka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 19:5
14 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia, Mimi nami ni nabii kama wewe, na malaika akaniambia kwa neno la BWANA, kusema, Mrudishe pamoja nawe nyumbani kwako, ale chakula, akanywe maji. Lakini alisema uongo.


Basi kwa hiyo usimwachilie, kwa kuwa wewe u mtu wa akili; nawe utajua ikupasayo umtendee, na mvi zake utazishusha Ahera pamoja na damu.


Je! Wataokoka kwa uovu wao? Ee Mungu, uwaangamize kwa hasira yako.


Usimshuhudie jirani yako uongo.


Usivumishe habari za uongo; usishirikiane na mwovu kwa kuwa shahidi wa uongo.


Shahidi wa kweli huponya nafsi za watu; Bali atoaye uongo hudanganya.


Shahidi mwaminifu hatasema uongo; Bali shahidi wa uongo, pumzi zake ni uongo.


Shahidi wa uongo hakosi ataadhibiwa; Naye asemaye uongo ataangamia.


Shahidi wa uongo atapotea; Bali mtu asikiaye atasema maneno yadumuyo.


Shahidi wa uongo asemaye uongo; Naye apandaye mbegu za fitina kati ya ndugu.


Mfalme akaamuru, nao wakawaleta wale watu waliomshitaki Danieli, wakawatupa katika tundu la simba, wao, na watoto wao, na wake zao; na wale simba wakawashinda wakaivunja mifupa yao vipande vipande, kabla hawajafika chini ya tundu.


Usilitaje bure Jina la BWANA, Mungu wako; maana BWANA hatamhesabia kuwa hana hatia, mtu alitajaye jina lake bure.