Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 10:7 - Swahili Revised Union Version

Kuwakumbuka wenye haki huwa na baraka; Bali jina la mtu mwovu litaoza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Waadilifu hukumbukwa kwa baraka, lakini waovu watasahaulika kabisa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Waadilifu hukumbukwa kwa baraka, lakini waovu watasahaulika kabisa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Waadilifu hukumbukwa kwa baraka, lakini waovu watasahaulika kabisa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kumbukumbu ya mwenye haki itakuwa baraka, lakini jina la mwovu litaoza.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kumbukumbu ya mwenye haki itakuwa baraka, lakini jina la mwovu litaoza.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kuwakumbuka wenye haki huwa na baraka; Bali jina la mtu mwovu litaoza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 10:7
20 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nitampa mwana wake kabila moja, ili Daudi, mtumishi wangu, apate kuwa na taa siku zote mbele zangu katika Yerusalemu, mji ule niliouchagua niweke jina langu huko.


Maana nitaulinda mji huu, niuokoe, kwa ajili yangu mwenyewe, na kwa ajili ya Daudi, mtumishi wangu.


Wakamzika katika mji wa Daudi kati ya wafalme, kwa sababu ametenda mema katika Israeli, na kwa Mungu, na katika nyumba yake.


Hezekia akalala na babaze, wakamzika mahali pa kupandia makaburi ya wana wa Daudi; nao Yuda wote na wenyeji wa Yerusalemu wakamfanyia heshima alipokufa. Na Manase mwanawe akatawala mahali pake.


Kumbukumbu lake litakoma katika nchi, Wala hatakuwa na jina mashambani.


Tumbo lililomzaa litamsahau; buu litamla na kuona tamu; Hatakumbukwa tena; Na udhalimu utavunjwa kama mti.


Watu watampigia makofi, Na kumzomea atoke mahali pake.


Wazawa wake waangamizwe, Jina lao likafutwe katika kizazi cha pili.


Ziwe mbele za BWANA daima, Aliondoe kumbukumbu lao duniani.


Kwa maana hataondoshwa kamwe; Mwenye haki atakumbukwa milele.


Uso wa BWANA ni juu ya watenda mabaya, Aliondoe kumbukumbu lao duniani.


Walilia, naye BWANA akasikia, Akawaponya kutoka kwa taabu zao zote.


Adui zangu wananitaja kwa maneno mabaya, Atakufa lini, jina lake lipotee?


Heri kuchagua jina jema kuliko mali nyingi; Na neema kuliko fedha na dhahabu.


Pia nikaona waovu wamezikwa, nao wamefika kaburini; tena waliofanya mema wameondoka katika patakatifu, nao wamesahauliwa mjini. Hayo nayo ni ubatili.


Nami nitainuka, nishindane nao; asema BWANA wa majeshi; na katika Babeli nitang'oa jina na mabaki, mwana na mjukuu; asema BWANA.


Ee BWANA, tumaini la Israeli, wote wakuachao watatahayarika. Wao watakaojitenga nami wataandikwa katika mchanga, kwa sababu wamemwacha BWANA, kisima cha maji yaliyo hai.


Amin, nawaambia, Kila ihubiriwapo Injili katika ulimwengu wote, na hili alilotenda huyu litatajwa kwa kumbukumbu lake.


Kwa kuwa ameutazama Unyonge wa mjakazi wake. Kwa maana, tazama, tokea sasa Vizazi vyote wataniita mbarikiwa;