Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 1:6 - Swahili Revised Union Version

Kufahamu mithali na kitendawili, na maneno ya wenye hekima na mafumbo yao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtu aelewe methali na mifano, maneno ya wenye hekima na vitendawili vyao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtu aelewe methali na mifano, maneno ya wenye hekima na vitendawili vyao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtu aelewe methali na mifano, maneno ya wenye hekima na vitendawili vyao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa kufahamu mithali na mifano, misemo na vitendawili vya wenye hekima.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa kufahamu mithali na mifano, misemo na vitendawili vya wenye hekima.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kufahamu mithali na kitendawili, na maneno ya wenye hekima na mafumbo yao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 1:6
14 Marejeleo ya Msalaba  

Nitatega sikio langu nisikie mithali, Na kufumbua fumbo langu kwa kinubi.


Nitafumbua kinywa changu kwa mithali, Niyatamke mafumbo ya kale.


Haya nayo pia ni maneno ya wenye akili. Kupendelea watu katika hukumu si kwema.


Maneno yao wenye hekima huwa mfano wa michokoo; na kama misumari iliyogongomewa sana; ndivyo yalivyo maneno yao walio wakuu wa makusanyiko, ambayo yatoka kwa mchungaji mmoja.


Na wakati wa mwisho wa ufalme wao, wakosaji watakapotimia kilele cha uovu wao, mfalme mwenye uso mkali, afahamuye mafumbo, atasimama.


Kwake nitanena mdomo kwa mdomo, Maana, waziwazi wala si kwa mafumbo; Na umbo la BWANA yeye ataliona. Mbona basi ninyi hamkuogopa Kumteta mtumishi wangu, huyo Musa?


Akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuijua siri ya ufalme wa Mungu, bali kwa wale walio nje, yote hufanywa kwa mifano,


wala pasipo mfano hakusema nao; lakini akawaeleza wanafunzi wake mwenyewe mambo yote kwa faragha.


Lakini chakula kigumu ni cha watu wazima, ambao akili zao, kwa kutumiwa, zimezoeshwa kupambanua mema na mabaya.


akisema juu ya mambo haya kama afanyavyo katika barua zake zote pia, katika barua hizo yamo mambo ambayo ni vigumu kuyaelewa na mambo hayo watu wasio na elimu, wasio imara, huyapotoa, kama vile wapotoavyo Maandiko mengine, na kujiletea maangamizi wao wenyewe.