Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 1:2 - Swahili Revised Union Version

Kujua hekima na adabu; kutambua maneno ya ufahamu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Methali hizi zawapatia watu hekima na nidhamu; zawafanya waelewe maneno ya busara,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Methali hizi zawapatia watu hekima na nidhamu; zawafanya waelewe maneno ya busara,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Methali hizi zawapatia watu hekima na nidhamu; zawafanya waelewe maneno ya busara,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa kupata hekima na nidhamu; kwa kufahamu maneno ya busara;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa kupata hekima na nidhamu; kwa kufahamu maneno ya busara;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kujua hekima na adabu; kutambua maneno ya ufahamu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 1:2
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kumcha BWANA ni maonyo ya hekima; Na kabla ya heshima hutangulia unyenyekevu.


Si afadhali kupata hekima kuliko dhahabu? Naam, yafaa kuchagua ufahamu kuliko fedha.


Nini maana yake, mpumbavu kuwa na fedha mkononi mwake ya kununulia hekima, Ikiwa hana moyo wa ufahamu?


Sikiliza mashauri, ukapokee mafundisho, Upate kuwa na hekima siku zako za mwisho.


Ndipo utakapofahamu haki na hukumu, Na adili, na kila njia njema.


Wanangu, yasikilizeni mausia ya baba yenu, Tegeni masikio mpate kujua ufahamu.


Mwambie hekima, Wewe ndiwe dada yangu; Mwite ufahamu jamaa yako mwandani.


Sikieni mafundisho, mpate hekima, Wala msiikatae.


Enyi wajinga, fahamuni werevu, Nanyi wapumbavu, mpate moyo wa kufahamu.