Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 1:1 - Swahili Revised Union Version

Mithali za Sulemani, mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hizi ni methali za Solomoni mfalme wa Israeli, mwana wa Daudi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hizi ni methali za Solomoni mfalme wa Israeli, mwana wa Daudi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hizi ni methali za Solomoni mfalme wa Israeli, mwana wa Daudi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mithali za Sulemani mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mithali za Sulemani mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mithali za Sulemani, mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 1:1
14 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Sulemani akaketi katika kiti cha enzi cha Daudi baba yake; na ufalme wake ukawa imara sana.


BWANA akampa Sulemani hekima, kama alivyomwahidia. Ikawa amani kati yao Hiramu na Sulemani; wakafanya mikataba kati yao wawili.


tazama, utapata mwana, atakayekuwa mtu wa amani; nami nitampa amani mbele ya adui zake pande zote; kwani jina lake litakuwa Sulemani, nami nitawapa Israeli amani na utulivu siku zake;


tena katika wana wangu wote (kwani BWANA amenipa wana wengi), amemchagua Sulemani mwanangu ili aketi juu ya kiti cha enzi cha ufalme wa BWANA, juu ya Israeli.


Ndipo Sulemani akaketi katika kiti cha enzi cha BWANA, awe mfalme badala ya Daudi babaye, akafanikiwa; nao Israeli wote wakamtii.


Akafa akiwa mzee sana, mwenye maisha marefu, mali na heshima; naye Sulemani mwanawe akatawala badala yake.


Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye.


ili kukujulisha hakika ya maneno ya kweli, uwarudishie wakutumao maneno ya kweli?


Hizi nazo ni mithali za Sulemani, ambazo watu wa Hezekia, mfalme wa Yuda, walizinakili.


Maneno ya Mhubiri mwana wa Daudi, mfalme katika Yerusalemu


Lakini, kwa sababu huyo Mhubiri alikuwa na hekima, aliendelea kuwafundisha watu maarifa, naam, akatafakari, akachunguza, akatunga mithali nyingi.


Hayo nimesema nanyi kwa mithali; saa inakuja ambapo sitasema nanyi tena kwa mithali, lakini nitawapa waziwazi habari ya Baba.