Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 9:38 - Swahili Revised Union Version

Basi mwombeni Bwana wa mavuno, atume wafanya kazi katika mavuno yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi mwombeni mwenye mavuno atume wafanyakazi wavune mavuno yake.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi mwombeni mwenye mavuno atume wafanyakazi wavune mavuno yake.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi mwombeni mwenye mavuno atume wafanyakazi wavune mavuno yake.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo mwombeni Bwana wa mavuno, ili atume watendakazi katika shamba lake la mavuno.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo mwombeni Mwenyezi Mungu, Bwana wa mavuno, ili apeleke watendakazi katika shamba lake la mavuno.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi mwombeni Bwana wa mavuno, atume wafanya kazi katika mavuno yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 9:38
15 Marejeleo ya Msalaba  

Bwana analitoa neno lake; Wanawake watangazao habari ni jeshi kubwa;


Wewe umepaa juu, umeteka mateka, Umepewa vipawa katikati ya wanadamu; Naam, hata na wakaidi, BWANA Mungu akae nao.


nami nitawapa ninyi wachungaji wanipendezao moyo wangu, watakaowalisha kwa maarifa na fahamu.


Na hayo mabaki ya Yakobo yatakuwa kati ya kabila nyingi mfano wa umande utokao kwa BWANA, mfano wa manyunyu katika nyasi; yasiyowategemea watu, wala kuwangojea wanadamu.


Ndipo alipowaambia wanafunzi wake, Mavuno ni mengi, lakini wafanya kazi ni wachache.


Basi Yesu akawaambia tena, Amani iwe kwenu; kama Baba alivyonituma mimi, mimi nami nawatuma ninyi.


Hamsemi ninyi, Bado miezi minne, ndipo yanakuja mavuno? Tazama, mimi nawaambieni, Inueni macho yenu myatazame mashamba, ya kuwa yamekwisha kuwa meupe, tayari kwa mavuno.


Basi hawa walipokuwa wakimfanyia Bwana ibada na kufunga, Roho Mtakatifu akasema, Nitengeeni Barnaba na Sauli kwa kazi ile niliyowaitia.


Lakini wale waliotawanyika wakaenda huku na huko wakilihubiri neno.


Na Mungu ameweka wengine katika kanisa, wa kwanza mitume, wa pili manabii, wa tatu waalimu, kisha miujiza, kisha karama za kuponya wagonjwa, aina za usaidizi, maongozi na aina za lugha.


Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu;


Hatimaye, ndugu, tuombeeni, neno la Bwana liendelee, na kutukuzwa kote kama ilivyo kwenu;