Mathayo 9:38 - Swahili Revised Union Version38 Basi mwombeni Bwana wa mavuno, atume wafanya kazi katika mavuno yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema38 Basi mwombeni mwenye mavuno atume wafanyakazi wavune mavuno yake.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND38 Basi mwombeni mwenye mavuno atume wafanyakazi wavune mavuno yake.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza38 Basi mwombeni mwenye mavuno atume wafanyakazi wavune mavuno yake.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu38 Kwa hiyo mwombeni Bwana wa mavuno, ili atume watendakazi katika shamba lake la mavuno.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu38 Kwa hiyo mwombeni Mwenyezi Mungu, Bwana wa mavuno, ili apeleke watendakazi katika shamba lake la mavuno.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI38 Basi mwombeni Bwana wa mavuno, atume wafanya kazi katika mavuno yake. Tazama sura |