Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 9:34 - Swahili Revised Union Version

Lakini Mafarisayo wakasema, Kwa nguvu za mkuu wa pepo atoa pepo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Mafarisayo wakawa wanasema, “Anawafukuza pepo kwa nguvu ya mkuu wa pepo wabaya.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Mafarisayo wakawa wanasema, “Anawafukuza pepo kwa nguvu ya mkuu wa pepo wabaya.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Mafarisayo wakawa wanasema, “Anawafukuza pepo kwa nguvu ya mkuu wa pepo wabaya.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini Mafarisayo wakasema, “Huyo anatoa pepo wachafu kwa uwezo wa mkuu wa pepo wachafu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini Mafarisayo wakasema, “Huyo anatoa pepo wachafu kwa uwezo wa mkuu wa pepo wachafu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini Mafarisayo wakasema, Kwa nguvu za mkuu wa pepo atoa pepo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 9:34
9 Marejeleo ya Msalaba  

Yamtosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumwa kuwa kama bwana wake. Ikiwa wamemwita mwenye nyumba Beelzebuli, je! Si zaidi wale walio wa nyumbani mwake?


Maana Yohana alikuja, hali wala hanywi, wakasema, Ana pepo.


Wakati ule akaletewa mtu mwenye pepo, kipofu, naye ni bubu; akamponya, hata yule bubu akanena na kuona.


Na mimi nikitoa pepo kwa Beelzebuli, je! Wana wenu huwatoa kwa nani? Kwa sababu hiyo hao ndio watakaowahukumu.


Nao waandishi walioshuka kutoka Yerusalemu wakasema, Ana Beelzebuli, na, Kwa mkuu wa pepo huwatoa pepo.


Wengine wao wakasema, Atoa pepo kwa Beelzebuli, mkuu wa pepo.


Maana kila mtu atendaye mabaya huichukia nuru, wala haji kwenye nuru, matendo yake yasije yakakemewa.


Mkutano wakajibu, Ama! Una pepo! Ni nani anayetafuta kukuua?