Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 9:29 - Swahili Revised Union Version

Ndipo alipowagusa macho, akasema, Kwa kadiri ya imani yenu na itendeke kwenu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hapo Yesu akayagusa macho yao, akasema, “Na iwe kwenu kama mnavyoamini.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hapo Yesu akayagusa macho yao, akasema, “Na iwe kwenu kama mnavyoamini.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hapo Yesu akayagusa macho yao, akasema, “Na iwe kwenu kama mnavyoamini.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo Isa akagusa macho yao na kusema, “Iwe kwenu sawasawa na imani yenu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo Isa akagusa macho yao na kusema, “Iwe kwenu sawasawa na imani yenu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo alipowagusa macho, akasema, Kwa kadiri ya imani yenu na itendeke kwenu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 9:29
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Yesu akajibu, akamwambia, Mama, imani yako ni kubwa; na iwe kwako kama utakavyo. Akapona binti yake tangu saa ile.


Yesu akawahurumia, akawagusa macho yao; mara wakapata kuona, wakamfuata.


Naye Yesu akamwambia yule afisa, Nenda zako; na iwe kwako kama ulivyoamini. Mtumishi wake akapona wakati ule ule.


Yesu akageuka, akamwona, akamwambia, Jipe moyo mkuu, binti yangu; imani yako imekuponya. Yule mwanamke akapona tangu saa ile.


Naye alipofika nyumbani, wale vipofu walimwendea; Yesu akawaambia, Mnaamini kwamba naweza kufanya hili? Wakamwambia, Naam, Bwana.


Yesu akamwambia, Nenda zako, imani yako imekuponya. Mara akapata kuona; akamfuata njiani.