Mathayo 9:21 - Swahili Revised Union Version Kwa maana alisema moyoni mwake, Nikigusa tu upindo wa vazi lake nitapona. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Alifanya hivyo kwani alifikiri moyoni: “Nikigusa tu vazi lake, nitapona.” Biblia Habari Njema - BHND Alifanya hivyo kwani alifikiri moyoni: “Nikigusa tu vazi lake, nitapona.” Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Alifanya hivyo kwani alifikiri moyoni: “Nikigusa tu vazi lake, nitapona.” Neno: Bibilia Takatifu kwa maana alisema moyoni mwake, “Nikigusa tu vazi lake, nitaponywa.” Neno: Maandiko Matakatifu kwa maana alisema moyoni mwake, “Kama nikigusa tu vazi lake, nitaponywa.” BIBLIA KISWAHILI Kwa maana alisema moyoni mwake, Nikigusa tu upindo wa vazi lake nitapona. |
Na makutano yote walikuwa wakitaka kumgusa, kwa sababu uweza ulikuwa ukimtoka ukiwaponya wote.
hata wagonjwa wakaletewa leso na nguo zilizotoka mwilini mwake, magonjwa yao yakawatoka, pepo wachafu wakawatoka.