Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 9:21 - Swahili Revised Union Version

Kwa maana alisema moyoni mwake, Nikigusa tu upindo wa vazi lake nitapona.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alifanya hivyo kwani alifikiri moyoni: “Nikigusa tu vazi lake, nitapona.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alifanya hivyo kwani alifikiri moyoni: “Nikigusa tu vazi lake, nitapona.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alifanya hivyo kwani alifikiri moyoni: “Nikigusa tu vazi lake, nitapona.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa maana alisema moyoni mwake, “Nikigusa tu vazi lake, nitaponywa.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa maana alisema moyoni mwake, “Kama nikigusa tu vazi lake, nitaponywa.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana alisema moyoni mwake, Nikigusa tu upindo wa vazi lake nitapona.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 9:21
6 Marejeleo ya Msalaba  

nao wakamsihi waguse hata pindo la vazi lake tu; na wote waliogusa wakaponywa kabisa.


Maana aliponya wengi, hata wote waliokuwa na misiba wakamrukia wapate kumgusa.


Na makutano yote walikuwa wakitaka kumgusa, kwa sababu uweza ulikuwa ukimtoka ukiwaponya wote.


hata wagonjwa wakaletewa leso na nguo zilizotoka mwilini mwake, magonjwa yao yakawatoka, pepo wachafu wakawatoka.